JAY MELODY – Nitasema Lyrics

Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu oh mara moja
Ninayopitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yaamenipa gonjwa
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me

Ooh
Na vitu vyako vinachanganya oh
Unugusapo kwisha mwenzio oh
Your magnet oh, unanivuta hapo
Utanitoa roho, jamani
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah mmmh
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *