Thamani ya mwanaume sio pesa Jumba na magari mazuri Ila busara heshima na hekima Utu ungwana na hisani Mpende mkeo naye atakupenda kweli Ananisitiri ata kwa dagaa na ugali Penye fuhara na mapenzi nayo yapo Penye mapenzi yana nyooka mambo Tena ananipenda Ata kwenye ngumu hali, nami namdekeza Kama penzi la mama kwa mwanae Tena panda mgongoni, nikupembeleze ulale Coz you’re my baby, you’re my baby
That’s why I love you That’s why I love you That’s why I love you That’s why I love you (Oh baby whine for me Oh baby kiss me please)
Alipo nipo ukimuona yeye, ume niona Tupo simple tunaendana eeh Alipo nipo ukimuona yeye, ume niona Tupo simple tunaendana eeh Tena ananipenda, ata kwenye ngumu hali Name namdekeza Kama penzi la mama kwa mwanae Tena panda mgongoni, nikupembeleze ulale Coz you’re my baby, you’re my baby
That’s why I love you That’s why I love you That’s why I love you That’s why I love you
Oh baby whine for me Oh baby dance for me Oh baby kiss me please Oh baby touch me please Oh baby whine for me Oh baby dance for me Oh baby kiss me please Oh baby touch me please